Ephesians 6:1-3

Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi

1 aEnyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema. 2 b“Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi, 3 c“upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”

Copyright information for SwhKC